.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 13 Novemba 2017

TETEMEKO LA ARDHI LAUWA WATU 207 IRAN

Tetemeko la ukubwa wa alama 7.3 limetokea katika eneo la mpaka baina ya Iran na Irak na kuuwa watu 207 na kujeruhi wengine 2500.

Shirika moja la misaada limeseam watu 70,000 wanahitaji hifadhi ya dharura baada ya tetemeko hilo kubwa kutokea katika mwaka huu.

Wengi wa watu waliokufa wanatokea mkoa wa magharibi wa Kermanshah nchini Iran huku watu wengine wapatao sita wakiripotiwa kufa Irak.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni