.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 12 Novemba 2017

MOROCCO YAIFUNGA IVORY COAST NA KUTINGA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA

Morocco imefuzu kutinga fainali za kombe la dunia 2018 baada ya kuibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Ivory Coast ambao wameshinda kwa mara ya nne mfululizo kutinga fainali hizo.

Magoli kutoka kwa beki Nabil Dirar na Medhi Benatia katika mchezo uliochezwa Abidjan yaliwahakikishia Morocco kumaliza washindi katika kundi C.

Morocco ilikuwa inahitaji sare tu kumaliza ikiongoza kundi hilo mbele ya Ivory Coast iliyopaswa kushinda ili kukata tiketi ya kwenda Urusi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni