.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 12 Novemba 2017

CAMEROON WATOSHANA NGUVU NA ZAMBIA WAKIKOSA FAINALI ZA KOMBE LA DUNIA

Mabingwa wa Afrika Cameroon wamelazisha sare ya magoli 2-2 dhidi ya Zambia katika mchezo wao wa mwisho wa kuwania kufuzu fainali za kombe la dunia, ikiokolewa na Yaya Banana.

Timu zote mbili zilishuka dimbani zikidhamiria kumaliza kampeni zao kwa ushindi, licha ya kushindwa kufuzu fainali za kombe la dunia 2018 nchini Urusi.

Alikuwa Patson Daka aliyeifanya Zambia iongoze katika dakika ya 26, akinasa pande la Fashion Sakala na kutikisa nyavu, lakini dakika tano baadaye Andre Zambo Anguissa alisawazisha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni