.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 12 Novemba 2017

TUNISIA YATOA SARE TASA NA LIBYA NA KUKATA TIKETI YA KOMBE LA DUNIA

Tunisia imekata tiketi ya kucheza fainali za kombe la dunia baada ya kutoka na pointi moja dhidi ya majirani zao Libya hapo jana katika mchezo ulioishia kwa sare ya 0-0.

Tunisia imemaliza ikiwa na pointi 14 katika kundi A, ikiwa mbele ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo iliyoshinda magoli 3-1 dhidi ya Guinea Jijini Kinshasa.

Tunisia ambayo haikufungwa imeshashiriki mara nne katika fainali za kombe la dunia na ilikuwa timu ya kwanza Afrika kushinda mchezo katika michuano hiyo mwaka 1978.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni