.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Desemba 2017

MANCHESTER UNITED HAITOKATA RUFAA KADI YA PAUL POGBA

Mfaransa Paul Pogba ataanza katika mchezo wa Manchester United dhidi ya CSKA Moscow hii leo, lakini ataikosa Manchester City jumamosi baada ya kocha Jose Mourinho kuamua kutoikatia rufaa kadi yake nyekundu.

Pogba alijikuta akilambwa kadi nyekundu baada ya kumchezea rafu Hector Bellerin wa Arsenal siku ya jumamosi wakati Manchester United ikiibuka na ushindi wa magoli 3-1, na sasa atakosa mechi tatu za Ligi Kuu ya Uingereza.
Paul Pogba akifurahi jambo wakati akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wa Manchester United kujianda kuwavaa CSKA Moscow

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni