.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 5 Desemba 2017

SANAMU YA LIONEL MESSI LIMEHARIBIWA TENA KWA MARA YA PILI

Sanamu ya Lionel Messi iliyopo katika Jiji la Buenos Aires nchini Argentina imeharibiwa kwa mara ya pili.

Sanamu hiyo ya nyota huyo wa Barcelona ilizinduliwa Juni mwaka 2016 huko Paseo de la Gloria na kuhudhuriwa na nyota kadhaa wa Argentina.

Mapema Januari sanamu hilo lilikumbwa na waharibifu kwa mara ya kwanza na kukatwa kiunoni, na safari hii limekatwa usawa wa enka.
Sanamu ya nyota wa Argentina Lionel Messi inavyoonekana baada ya kuharibiwa na watu wasiojulikana
Kushoto sanamu ya Lionel Messi ilivyokuwa imeharibiwa mara ya kwanza na kulia ilivyoharibiwa mara ya pili

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni