.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 1 Desemba 2017

MATAIFA YATAKIWA KURIDHIA SHERIA YA KUPIGA MARUFUKU PLASTIKI BAHARINI

Mpango wa kutovumilia kabisa uchafuzi wa mazingira wa plastiki kwenye eneo la bahari unaweza kukubaliwa na mataifa katika mkutano wa Umoja wa Mataifa wa Mazingira.

Serikali zimetakiwa kuchukua hatua za kuridhia mkataba wa sheria ya kimataifa inayozuia kabisa mabaki ya plastiki kuingia katika eneo la bahari.

Kwa sasa meli zimekatazwa kutupa baharini taka za plastiki, lakini hakuna sheria ya kimataifa inayozuia plastiki kufika maeneo ya baharini.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni