.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 1 Desemba 2017

WANAJESHI WAULA KATIKA BARAZA LA MAWAZIRI LA ZIMBABWE

Rais wa Zimbabwe Emerson Mnangagwa ametaja bazara lake la mawaziri na kuwateua wanajeshi waandamizi katika nafasi za juu za uongozi.

Rais Mnangagwa amemteuwa Jenerali Sibusiso Moyo ambaye ndiye aliyezungumza kwenye television ya taifa kuhusiana na jeshi kutwaa udhibiti wa nchi hiyo kuwa Waziri wa Mambo ya Nje.

Katika baraza hilo la mawaziri Mkuu wa Kikosi cha Jeshi la Anga, Perence Shiri, ameteuliwa kuwa Waziri wa Kilimo na Ardhi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni