.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 29 Januari 2018

LIONEL MESSI AIPATIA USHINDI TIMU YA BARCELONA

Mchezo wa kwanza wa Philippe Coutinho katika La Liga akiwa na Barcelona umemalizika kwa ushindi wa magoli 2-1 baada ya Barcelona kutokea nyuma na kuifunga Alaves.

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester City John Guidetti aliandika goli la kwanza kwa mpira uliomshinda kipa Marc-Andre ter Stegen na kuwafanya wageni Alaves waongoze.

Luis Suarez aliisawazishia Barcelona goli hilo na kisha baadaye Lionel Messi kuihakikishia ushindi kwa goli la mpira wa adhabu.
         Mpira wa adhabu uliopigwa na Lionel Messi ukielekea kuwapita mabeki na kujaa wavuni

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni