.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 8 Agosti 2013

JAY Z AWAPA WAFANYAKAZI WAKE BONASI YA KUSHANGAZA

     
                  BOSI WA UKWELI
                                                                           Jay- Z 

Rapa Jay Z ni aina ya bosi ambaye watu wengi wangependa kufanyakazi kwake kutokana na ukarimu wa hali ya juu alionao kwa wafanyakazi wake.

Rapa huyo hivi karibuni amewapatia wafanyakazi wake kila mmoja bonasi ya kitita cha dola 50,000, sawa na milioni 82.5 za Tanzania baada ya kurejeshewa sehemu ya kodi ya ziada aliyolipa serikali ya Marekani ya dola milioni 6.4.

Kitendo hicho cha Bosi Jay Z kiliwashangaza wafanyakazi kiasi ya baadhi yao kufikia uamuzi wa kumuuliza msaidizi wake wa karibu ili kujiridhisha kuwa isijekuwa malipo hayo yamefanyika kimakosa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni