![]() |
| Luis Suarez akimsikiliza kwa masikitiko Kocha Brendan Rodgers |
Mshambuliaji wa Liverpool, Luis Suarez
ameambiwa na Kocha Brendan Rodgers kufanya mazoezi peke yake kutokana
na kuonyesha utovu wa nidhamu kwa klabu hiyo.
Rodgers pia amekanusha madai ya
mchezaji huyo raia wa Uruguay kuwa Liverpool ilimuahidi kumruhusu
kuhama iwapo itashindwa kufuzu Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
Suarez amekuwa akihitajiwa na klabu ya
Arsenal kwa uhamisho wa kitita cha paundi milioni 40, nae ameonyesha
nia ya kutaka kuondoka Liverpool.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni