.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Agosti 2013

LUIS SUAREZ: NATAKA KUONDOKA LIVERPOOL



Mshambuliaji wa Liverpool Luis Suarez amesema anataka kuondoka klabu hiyo na kujiunga na klabu inayoshiriki Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.

Mchezaji huyo raia wa Uruguay amenuia kuwasilisha ombi la kutaka kuondoka Liverpool mwishoni mwa wiki iwapo atanyimwa kuhama.

Suarez ameyaambia magazeti ya Guardian na Telegraph kuwa Liverpool ilimuahidi ataondoka katika msimu huu wa joto iwapo klabu hiyo haitafuzu kucheza Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni