.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 7 Agosti 2013

UWANJA WA NDEGE WA JOMO KENYATTA WAFUNGWA



Uwanja Mkuu wa Ndege wa Kenya wa Jomo Kenyatta umefungwa kufuatia moto ambao umeteketeza kabisa kitengo cha wanaowasili cha uwanja huu leo alfajiri.

Moto huo uliotokea majira ya saa 11 alfajiri bado unaendelea kudhibitiwa na vikosi mbalimbali vya zima moto, huku uwanja huo ukizingirwa na kikosi cha polisi cha (GSU).


Rais Uhuru Kenyatta alitembelea uwanja huo leo majira saa 3 asubuhi, kujionea hali halisi, vilevile Waziri wa Mambo ya Ndani Joseph ole Lenk, Waziri wa Uchukuzi Michael Kamau pamoja na Waziri Anne Waiguru walifika katika eneo la tukio.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni