.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 13 Agosti 2013

MBRAZILI AVUMBUA TAA ZA KUTUMIA CHUPA ZA MAJI

                                       
                                             Alfredo akifurahia matunda ya uvumbuzi wake 

Umewahi kufikiria kuwa chupa za maji zinaweza kutumika kama taa na kuleta mwanga kwenye jengo lenye giza wakati wa mchana.

Jibu la swali hili analo Alfredo Moser raia wa Brazili ambaye amebuni taa za chupa za maji ambazo zimepata umaarufu mno kutokana na kuweza kuleta mwanga ndani ya nyumba bila ya kuhitaji kutumia umeme.

Taa hizi za chupa za maji, Alfredo amezibuni kwa kutumia maji yaliyowekwa dawa ya kuondoa madoa (Bleach) na huning'inizwa katika matundu ya bati ambapo jua likiwaka hupenyeza mwanga ndani sawa na balbu ya watt 40 hadi 60 kulingana na nguvu ya mwanga wa jua.

                          Muonekano wa taa za chupa kwa sehemu ya juu ya bati la nyumba

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni