.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 12 Agosti 2013

USAIN BOLT ATWAA MEDALI YA DHAHABU MOSCOW



Bingwa wa mbio za Olimpiki Usain Bolt amerejesha taji lake la mbio za dunia kwa mita 100 kwa kushinda kwa mara ya nne medali ya dhahabu ya mabingwa wa dunia kwa kutumia sekunde 9.77 huko Moscow.


Katika mbio hizo zilizoambatana na mvua Mjamaica huyo alirekebisha makosa yake aliyoyafanya huko Daegu miaka miwili iliyopita na kuimarisha rekodi yake ya kuwa mwanariadha bora katika historia ya riadha.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni