Ijumaa, 9 Agosti 2013
ZANZIBAR YAWASILISHA SALAMU ZA POLE KUFUATIA TUKIO LA KUUNGUA MOTO UWANJA WA JOMO KENYATTA
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiwasilisha salamu za pole kwa Balozi wa Kenya Nchini Tanzania Balozi Mutinda Mutiso kufuatia uwanja wa ndege wa Kimataifa wan nchi hiyo kukumbwa na janga la Moto. Pembeni yao kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mh. Mohammed Aboud Mohammed.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni