Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akielezea jinsi Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ilivyosikitishwa na Kitendo cha raia wawili wa Uingereza Katie Gee na Kisty Trup cha kumwagiwa tindikali { Acid } na watu wasiojuilikana katika maeneo ya Mji Mkongwe wa Zanzibar.
Kikao hicho cha dharura kilifanyika Ofisini kwake Mtaa wa Vuga Mjini Zanzibar na kushuhudia pia na baadhi ya Viongozi wa Jumuia za utembezaji watalii za hapa Zanzibar ZATO na ZATI.

.jpg)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni