.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 9 Agosti 2013

JOSE MOURINHO AZIDI KUMG'ANG'ANIA WAYNE ROONEY


                                                                   Jose Mourinho

Kocha Jose Mourinho amesema ataendelea kumuwania mshambuliaji wa Manchester United, Wayne Rooney hadi siku ya mwisho ya kufungwa pazi la usajili nchini Uingereza.

Kocha huyo wa Chelsea ameamua kuwa king'ang'anizi licha ya klabu ya Manchester United kumtolea nje kuwa Rooney hauzwi.

Aidha , Mourinho amekanusha kuhusika kumshawishi David Luiz kuondoka Chelsea katika msimu huu wa usajili wa majira ya joto.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni