.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 12 Desemba 2013

AIR FORCE ONE, NDEGE YA RAIS WA MAREKANI INAVYOONEKANA KWA NDANI

 Rais Barack Obama na mkewe Michelle ( mbele ) wakifuatiwa na Rais Mstaafu George W.Bush na mkewe Laura kupanda Air Force One wakati wanaelekea Afrika Kusini kwenye misa maalum ya kumuombea Nelson Mandela iliyofanyika jumanne katika uwanja wa FNB Johannesburg
 Rais mstaafu George W.Bush ( kushoto ) akiongea jambo ndani ya ndege hiyo
 Rais Barack Obama na mtangulizi wake George W.Bush wakiwa ndani ya Air Force One
 Rais Barack Obama ( kulia ) akimsikiliza mtangulizi wake George W.Bush ndani ya chumba cha mikutano ndani ya Air Force One

 Rais Obama akiwa na Ben Rhodes ambaye ni mshauri msaidizi wa masuala ya ulinzi nchini Marekani
                                      Hapa wakiteremka katika Air Force One

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni