Kipigo cha jana cha mabao 6-3
ilichopata Arsenal kutoka kwa Manchester City kimeanza kuzua maswali
mengi iwapo timu hiyo itaweza kweli kumudu kuendelea kuongoza Ligi
Kuu ya Uingereza.
Wachumbuzi wa masuala ya soka
wamebashiri kuwa ni ishara ya Arsenal kurejea katika tatizo lake la
misimu iliyopita ambapo ilikuwa ikitetereka mno kwenye ligi hiyo.



Hakuna maoni :
Chapisha Maoni