Luis Suarez ametikisa
nyavu mara mbili wakati Liverpool ikiifundisha soka Tottenham na
kupaa hadi nafasi ya pili ya msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, kwa
ushindi wa mabao 5-0.
Suárez alipachia mabao
hayo kwenye dakika 18 na 84, huku mabao mengine yakifungwa na
Henderson dakika ya 40, Flanagan dakika ya pamoja na Sterling kwenye
dakika ya 89.
MANCHESTER UNITED
YAZIDUKA.....
Manchester United jana
imezinduka katika Ligi Kuu ya Uingereza na kuwafunga wenyeji wao
Aston Villa mabao mabao 3-0 katika mchezo ambao Danny Welbeck
alipachika kimiani mabao mawili na Tom Cleverley moja.





Hakuna maoni :
Chapisha Maoni