Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Publishers Ltd na Mwalimu wa Ujasiriamali nchini, Eric James Shigongo akiwasalimia wakazi wa Mwanza jana.
Eric Shigongo akimkaribisha mkufunzi wa masuala ya ujasiriamali, James Mwang’amba aongee na wakazi wa Mwanza jana.
James Mwang’amba akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wananchi wa Mwanza.
Masanja Mkandamizaji akiwavunja mbavu wakazi wa Mwanza kwa historia ya kusisimua ya maisha yake.
Wananchi wakifurahia somo kutoka kwa Masanja.
Masanja akifanya yake mbele ya wakazi wa Mwanza jana.
Wananchi wakijipatia vitabu vya Mtunzi Eric Shigongo. Wakazi
wa jiji la Mwanza wamezidi kujipatia elimu ya ujasiriamali, vitabu na
CD za Eric Shigongo na James Mwang’amba katika Tamasha kubwa la
Ujasiriamali linalofikia kikomo jana jijini Mwanza. Tamasha hilo
lilianza juzi (Ijumaa) ambapo walimu wa ujasiriamali Shigongo na
Mwang’amba wametoa mbinu kwa watu wa Mwanza jinsi ya kuwa wajasiariamali
mahiri.
Wananchi wakifurahia somo kutoka kwa Masanja.
(PICHA: CHANDE ABDALLAH NA DENIS MTIMA / GPL, MWANZA)
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni