.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Desemba 2013

MAELFU WAFURIKA UNION BUILDINGS KUTOA HESHIMA ZAO ZA MWISHO KWA NELSON MANDELA

 Msururu mkubwa wa wananchi wa Afrika Kusini wakiwa katika majengo ya Umoja ( Union Buildings ) mjini Pretoria kwa ajili ya kutoa heshima zao za mwisho kwa Rais wa kwanza mzalendo wa nchi hiyo Nelson Mandela
           Maelfu ya wananchi hao wakionekana kwa mbali katika majengo hayo
 Wananchi wakielekea kwa wingi katika majengo ya Umoja ( Union Buildings ) kwa ajili ya kutoa heshima zao za mwisho kwa Nelson Mandela
                                 Hali ilivyo katika viwanja vya Union Buildings
 Simanzi!! Mwananchi huyu akihuzunika baada ya kutoa heshima za mwisho
Maandalizi yakiendelea kwa kasi kubwa kijijini Qunu ambako marehemu Nelson Mandela atazikwa jumapili hii ya tarehe 15/ 12/ 2013

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni