.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 13 Desemba 2013

TASAF YATOA ELIMU KWA WANAHABARI JUU YA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI


Mkurugenzi Mtendaji wa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF), Ladislaus  Mwamanga akifafanua jambo leo   kwa baadhi  ya  waandishi wa habari na wahariri  kutoka Tanzania Bara na  Zanzibar  kwenye  warsha  siku mbili ya kujenga uelewa wa mpango wa kunusuru kaya masikini  wa awamu ya tatu inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo
Mtaalamu wa Habari na Mawasiliano kutoka  Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF), Zuhura Mdungi  akifafanua jambo leo  katika  ya warsha  siku mbili ya kujenga uelewa wa mpango wa  awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo

  Mkurugenzi wa Huduma za jamii kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF) Amadeus Kamagenge akitoa  mada leo kwa  baadhi ya  waandishi wa habari na wahariri  kutoka Tanzania Bara na  Zanzibar  kwenye  warsha  ya siku mbili ya kujenga uelewa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Masikini  wa awamu ya tatu inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo
Baadhi ya  waandishi wa habari na wahariri  kutoka Tanzania Bara na  Zanzibar wakiwa  katika  ya warsha  siku mbili  leo ya kujenga uelewa wa mpango wa awamu ya tatu wa  kunusuru kaya masikini inayoendelea kwenye hoteli ya Oceanic Bay, Bagamoyo iliyoandaliwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii(TASAF).

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni