.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumapili, 15 Desemba 2013

MISA YA KUMUOMBEA NELSON MANDELA KABLA YA MAZISHI INAENDELEA HIVI SASA KIJIJINI QUNU

                                        Jukwaa mbele linavyoonekana
 Mizingi ikipigwa kwa heshima ya Madiba wakati mwili wake ukiwasili tayari kwa misa
     Prince Charles akisalimia ndani ya hema maalum lililoandaliwa kwa ajili ya misa ya kumuombea Nelson Mandela
 Mwili wa Nelson Mandela ukiingizwa ndani ya hema maalum kunakofanyika misa ya kumuombea

 Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Thabo Mbeki akibadilishana mawazo na waombolezaji wengine
                                       Mjane wa Mandela, Graca Machel
                     Mke wa zamani wa Mandela, Winnie Madikizela-Mandela


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni