.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumamosi, 14 Desemba 2013

MWILI WA NELSON MANDELA WASAFIRISHWA KUELEKEA QUNU, KUZIKWA KESHO

 Ndege iliyobeba mwili wa Rais mweusi wa kwanza nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela ikiwa tayari kupaa kuelekea kijijini Qunu ambako atazikwa kesho
Mwili wa Nelson Mandela ukiingizwa katika ndege baada ya viongozi wa chama cha ANC kutoa heshima zao za mwisho. Mandela atazikwa kesho kijijini kwao Qunu

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni