.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 17 Desemba 2013

TAMASHA LA UJASIRIAMALI MWANZA, ELIMU, BURUDANI MWANZO MWISHO

Mwanamuziki Fid Q akizikonga nyoyo za mashabiki wa Mwanza waliohudhuria tamasha la ujasiriamali jana.
Mheshimiwa Sugu akitoa burudani kwa wakazi wa Mwanza ndani ya CCM Kirumba.

Young Killer akifanya makamuzi ya nguvu ndani ya CCM Kirumba jana.

H-Baba akikamua katika Tamasha kubwa la Ujasiriamali lililofikia mwisho jana.
H-baba akiwasalimia mashabiki wake.
Msanii Jitaman akitumbuiza.
Mkurugenzi wa Global Publishers na Street University, Eric Shigongo akitoa elimu ya ujasiriamali kwa wakazi wa Mwanza katika Uwanja wa CCM Kirumba.

Eric Shigongo akimsikiliza mmoja wa watu waliofanikiwa kupitia mafundisho yake ya ujasiriamali.
Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Mheshimiwa Joseph Mbilinyi ‘Sugu’, akiwafundisha wananchi wa Mwanza.
Watu waliojaa ndani ya CCM Kirumba kufuatilia tamasha hilo..
Nyomi iliyohudhuria tamasha hilo jana

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni