.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 16 Desemba 2013

UWANJA WA ARENA AMAZONIA UTAKAOTUMIWA NA ENGLAND DHIDI YA ITALIA KOMBE LA DUNIA MWAKANI WAUA

   Uwanja wa Amazonia wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 43,000 waliokaa
 Uwanja wa Arena Amazonia ambao utatumiwa na England dhidi ya Italia katika mechi yao kundi D kuwania kombe la Dunia mwakani nchini Brazil,mchezo utakaochezwa tarehe 14/ 06/2014 umeua mfanyakazi mmoja ambaye alidondoka toka juu ya paa la uwanja huo akiwa anaendelea na kazi jumamosi iliyopita.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni