.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatatu, 16 Desemba 2013

WAZIRI MAGHEMBE AKABIDHI VISIMA 20 VILIVYOKARABATIWA NA TBL WILAYANI MISUNGWI


 Meneja Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania  (TBL) wa mikoa ya Simiyu, Mwanza  na Mara, Josephat Changwe, akimwongoza Waziri wa Maji , Profesa Jumanne Maghembe (kulia) kuzindua moja ya visima 20 vya maji salama ya kunywa vilivyokarabatiwa na kampuni hiyo kwa gharama ya sh.49.5 milioni, wilayani Misungwi,Mwanza juzi.Anayepiga makofi (kushoto) ni Mbunge wa jimbo la Misungwi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira, Charles Kitwanga.
 Mama akiondoka na maji huku viongozi wakipiga makofi kwa furaha
 
Naibu Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira ambaye pia ni Mbunge wa Misungwi, Charles Kitwanga (kulia), akipampu maji huku Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe (pili kulia),  na Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa TBL, Steve Kilindo wakionja maji wakati wa hafla ya kukabidhi visima vya maji 20 vilivyokarabatiwa na TBL wilayani Misungwi, Mwanza, kwa sh. mil 49.5, juzi.
Mkurugenzi wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya Bia (TBL),Stephen Kilindo,wa kwanza kulia akitoa taarifa fupi ya ukaratabati wa visima 20 Wilayani Misungwi kwa Waziri wa Maji ,Profesa Jumanne Maghembe wa pili kutoka kushoto.wa pili kulia ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Mariam Lugaila na wa Kwanza kushoto ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Mapilinga,Benard Busangu juzi

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni