Meneja
Mauzo wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) wa mikoa ya Simiyu, Mwanza na
Mara, Josephat Changwe, akimwongoza Waziri wa Maji , Profesa Jumanne
Maghembe (kulia) kuzindua moja ya visima 20 vya maji salama ya kunywa
vilivyokarabatiwa na kampuni hiyo kwa gharama ya sh.49.5 milioni,
wilayani Misungwi,Mwanza juzi.Anayepiga makofi (kushoto) ni Mbunge wa
jimbo la Misungwi, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Mazingira,
Charles Kitwanga.
Naibu
Waziri, Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira ambaye pia ni Mbunge wa
Misungwi, Charles Kitwanga (kulia), akipampu maji huku Waziri wa Maji,
Profesa Jumanne Maghembe (pili kulia), na Mkurugenzi wa Sheria na
Uhusiano wa TBL, Steve Kilindo wakionja maji wakati wa hafla ya
kukabidhi visima vya maji 20 vilivyokarabatiwa na TBL wilayani Misungwi,
Mwanza, kwa sh. mil 49.5, juzi.
Mkurugenzi
wa Sheria na Uhusiano wa Kampuni ya Bia (TBL),Stephen Kilindo,wa kwanza
kulia akitoa taarifa fupi ya ukaratabati wa visima 20 Wilayani Misungwi
kwa Waziri wa Maji ,Profesa Jumanne Maghembe wa pili kutoka kushoto.wa
pili kulia ni Mkuu wa Wilaya hiyo, Mariam Lugaila na wa Kwanza kushoto
ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Mapilinga,Benard Busangu juzi


Hakuna maoni :
Chapisha Maoni