.
.
.
.
.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga
|
TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.
mbani
NYUMBANI
HABARI
SIASA
MICHEZO
BURUDANI
TABASAMU
KIMATAIFA
Alhamisi, 12 Desemba 2013
YASIN SALEH BINGWA WA GOFU MICHUANO YA NSSF OPEN
Mshindi wa kwanza kwa wachezaji wa ridhaa katika mashindano ya gofu ya NSSF,ORYX Tanzania 2013,Frank Roman akikabidhiwa kikombe na katibu tawala wa mkoa wa Kilimanjaro Faisal Issa,katikati ni mwakilishi wa wadhamini wa mashindano hayo NSSF,Daudi Mwangole.
Afisa operesheni wa shirika la hifadhi ya jamii NSSF mkoa wa Kilimanjaro Daudi Mwangole akizungumza jambo wakati wa kukabidhi zawadi kwa washindi wa michuano ya Gofu ya NSSF,ORYX Tanzania Open 2013 iliyofanyika katika viwanja vya gofu vya TPC.
Katibu tawala mkoa wa Kilimanjaro Faisal Issa akimwakilsiha mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama katika utoaji wa zawadi kwa washindi wa michuano ya Gofu ya NSSF,ORYX Tanzania Open 2013 iliyofanyika katika viwanja vya gofu vya TPC.
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni
Chapisho Jipya
Taarifa za zamani
Nyumbani
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni ( Atom )
Hakuna maoni :
Chapisha Maoni