.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Januari 2014

FRANCK RIBERY NA KARIM BENZEMA WAFUTIWA MASHTAKA NA MAHAKAMA

Mahakama nchini Ufaransa imetupiliambali mashtaka ya kufanya ngono na binti mdogo yaliyokuwa yanawakabili wachezaji soka Franck Ribery na Karim Benzema.

Jaji wa Mahakama ametoa uamuzi huo na kusema kuwa hakukuwa na ushahidi wa kutosha kuhusu wanasoka hao kufahamu binti huyo Zahia Dehar alikuwa na umri chini ya miaka 18.

Binti Zahia Dehar

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni