.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

HALI YA USALAMA KATIKA JAMHURI YA AFRIKA YA KATI YAZIDI KUWA MBAYA

Hali ya Usalama katika Jamhuri ya Afrika ya Kati imezidi kuwa mbaya licha ya kuapishwa kwa rais wa muda wa nchi hiyo.

Mkuu wa Shirika la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa Navi Pillay amesema kuwa wananchi waislam sasa wapo katika hali ya hatari mno.

Taarifa yake imekuja wakati ambapo Viongozi wa Waislam na Wakristo wakikutana na Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron kuomba msaada zaidi wa Kimataifa.

Karibu watu milioni moja sawa na asilimia 20 ya wananchi, wamekimbia makazi yao baada ya kuibuka vurugu za kidini katika Jamhuri ya Afrika ya Kati.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni