.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Januari 2014

IKIWA NA MATA UWANJANI MANCHESTER UNITED YAZINDUKA, YAICHAPA CRDIFF 2-0

 Manchester United usiku wa kuamkia leo imeibuka na ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Cardiff katika mfululizo wa mechi za ligi kuu nchini Uingereza. Ikimchezesha Juan Mata ambaye wamemsajili karibuni akitokea Chelsea, 

Manchester United waliandika bao la kwanza kunako dakika ya sita kupitia kwa Robin Van Persie ambaye naye amerejea baada ya kuwa majeruhi kwa muda mrefu

 Robin Van Persie akipongezwa na wenzake baada ya kufunga bao la kwanza kunako dakika ya sita. Bao la pili la Man U lilifungwa Ashley Young. Kwa matokeo hayo Manchester Uinited imeendelea kubaki katika nafasi ya saba ikiwa na pointi 40
MATOKEO MENGINE YA LIGI KUU:-

Crystal Palace 1 vs Hull City 0

Swansea 2 vs Fulham 0

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni