.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 29 Januari 2014

LIGI KUU UINGEREZA, ARSENAL YASHIKWA NA SOUTHAMPTON, LIVERPOOL YAIFANYIA MAUAJI EVERTON

 Arsenal usiku wa kuamkia leo wamekamatwa na Southampton baada ya kumaliza dakika 90 za mchezo wa ligi kuu Uingereza timu hizo zikiwa zimefungana mabao 2-2. Hata hivyo pamoja na matokeo hayo, Arsenal inaendelea kubaki kileleni ikiwa na pointi 52 ikifuatiwa na Manchester City wenye pointi 50, na nafasi ya tatu ipo Chelsea yenye pointi 49
 LIVERPOOL YAFANYA MAUAJI, YAICHAPA EVERTON 4-0
 Mchezaji wa Liverpool Danile Sturridge katikati akipongezwa na wachezaji wenzake baada ya kufunga bao
 Nahodha wa Liverpool Steven Gerald akishangilia bao dhidi ya Everton
 Mlinda mlango wa Everton akiruka bila mafanikio kuokoa mpira ulioingia nyavuni na kuandika bao lingine kwa Liverpool, bao lililofungwa na Daniel Sturridge
Hadi mwisho wa mchezo Liverpool 4 Everton 0. Kwa matokeo hayo liverpool wapo nafasi ya nne wakiwa na pointi 46

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni