.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Januari 2014

JOSE MOURINHO ALALAMA WEST HAM KUEGESHA BASI GOLINI HAPO JANA

Kocha Jose Mourinho ameituhumu klabu ya West Ham kwa kucheza soka la karne ya 19, baada ya kuibana Chelsea kutoka sare ya 0-0 hapo jana katika mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Chelsea ilifanya majaribio 39 ya kufunga goli, wakati West Ham ambao walikuwa ugenini wakijaribu mara moja huku muda mwingi wakitumia kujilinda wasifungwe.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni