.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

KIM KARDASHIAN NA KANYE WEST KUFUNGA NDOA MWEZI WA SITA MWAKA HUU

 Wachumba wawili wanaopendana kwa dhati, mwanamuziki mahiri Kanye West na mwanadada Kim Kardashian wametangaza kufunga ndoa yao mwezi wa sita mwaka huu. 

Kim Kardashian mwenye miaka 33 amemtaka mchumba wake Kanye West ambaye ana aibu sana mbele ya Kamera siku hiyo hana jinsi itabidi awe tayari kumulikwa na Kamera, kwani E Channel watarekodi tukio hilo muhimu kwao na wamekubali kugharamia sehemu kubwa ya harusi yao.

Harusi ya wawili hawa itafanyika nchini Ufaransa

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni