.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

MOHAMMED MORSI AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA HELKOPTA JIJINI CAIRO

Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi amefikishwa mahakamani Jijini Cairo kukabiliana na shtaka la kutoroka jela mwaka 2011.

Morsi aliyeng'olewa madarakani na jeshi Julai 2013 alifikishwa mahakamani kwa helkopta akitokea gerezani huko Alexandria.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni