.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

MCHINA MWINGINE AKAMATWA KENYA NA PEMBE ZA NDOVU


Januari 27 raia mwingine wa China Tang Yong Jian alifikishwa mahakamani, Kenya baada ya kukutwa na Kilo 3.4 za pembe za ndovu akisafirisha kwenda Guangzho, China akitokea Msumbiji.

------------------------------------------------------------------------------------------------------------

Raia wa China Chunsheng Zhang amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta JKIA Jijini Nairobi nchini Kenya akiwa na pembe za ndovu.

Mtuhumiwa huyo alikamatwa katika uwanja huo akitokea Lubumbashi Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), akiunganisha ndege
kuelekea Guangzhou nchini China.

Zhang ambaye alikuwa abiria katika ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways alikamatwa jana usiku akiwa na bangili, mikufu iliyotengenezwa kwa pembe za ndovu na vipande kumi vya pembe za ndovu.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni