.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

WAZIRI MKUU UKRAINE AJIUZULU HUKU HALI IKIWA BADO YA WASIWASI NCHINI HUMO

                               Waziri mkuu wa Ukraine aliyejiuzulu Mykola Azarov
Waziri Mkuu wa Ukraine Mykola Azarov amelazimika kujiuzulu wadhifa wake huo huku bunge la nchi hiyo likikutana kwa kikao maalum kupiga kura ya kufuta sheria mpya inayozuia maandamano.

Wapinzani wanasema sheria hiyo kwa kiasi kikubwa imechochea mapambano ya maafa kati ya polisi na waandamanaji ambao wanaipinga serikali ya Rais Vicktor Yanukovych

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni