.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

MWANAMUZIKI JUSTIN BIEBER AJISAHAULISHA TUKIO LA KUKAMATWA NA POLISI, MIAMI


Mwanamuziki Justin Bieber anaonekana kusahau kitendo cha kukamatwa nchini Marekani, wakati huu akiwa kwenye fukwe za bahari huko Panama akiponda raha.

Baada ya kukamatwa kwa kuendesha gari kwa kasi akiwa ametumia dawa za kulevya huko Miami wiki iliyopita, nyota huyo wa Pop aliamua kupata mapumziko Panama.

                                              Justin Bieber akimpa mkono shabiki wake


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni