.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumanne, 28 Januari 2014

WALIMU KENYA WAPINGA SERA INAYOWATAKA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI KWA KUTUMIA LUGHA YA MAKABILA

Walimu nchini Kenya wamepinga sera mpya ya Wizara ya Elimu inayowataka kuwafundisha watoto ambao ndio kwanza wanajiunga na Elimu ya Msingi kwa kutumia lugha za makabila yao.

Walimu hao wa Kenya wamesema sera hiyo sio tu ni ngumu kuitekeleza bali pia inarejesha elimu nyuma.

Maafisa wa Chama cha Taifa cha Walimu Kenya (KNUT) wameitaka Wizara ya Elimu kusitisha sera hiyo na kuwashauri walimu kwanza kabla ya utekelezaji. 


Hakuna maoni :

Chapisha Maoni