.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Januari 2014

WAANDISHI 20 WASHIKILIWA MISRI KWA TUHUMA ZA KUHUSIKA NA KUNDI LA KIGAIDI

Waendesha mashtaka nchini Misri wamesema waandishi 20 wanakabiliwa na mashtaka nchini humo.

Kumi na sita miongoni mwao ni raia wa Misri wanaotuhumiwa kuhusika na kundi la kigaidi na wanne ni raia wa kigeni wanaotuhumiwa kulisaidia ama kusambaza habari za uongo za kundi hilo.

Watuhumiwa hao ni pamoja na Waingereza wawili, Mholanzi mmoja na raia wa Australia mmoja ambaye anaaminika kuwa ni mwandishi wa kujitegemea wa al-Jazeera, Peter Greste.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni