.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Alhamisi, 30 Januari 2014

RIEK MACHAR APINGA MASHTAKA YA UHAINI ALIYOFUNGULIWA

Kiongozi wa waasi wa Sudan Kusini Riek Machar ameviambia vyombo vya habari kuwa mashtaka ya uhaini aliyofunguliwa yeye na washirika wake ni uongo na hayana msingi.

Machar ambaye anakimbia vyombo vya dola, amesema anamatarajio mazungumzo ya mgogoro huo yatasaidia kuachiwa huru kwa washirika wake wanne wanaoshikiliwa.

Maafisa wa Serikali ya Sudan Kusini hivi karibuni walitangaza majina saba ya wanasiasa waliofunguliwa mashtaka kwa kuhusika na uhaini Desemba mwaka jana.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni