.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 28 Februari 2014

AJALI YA BASI THAILAND YAUA WANAFUNZI 13 NA WAALIMU 2

Basi lililokuwa limewabeba wanafunzi limepinduka mashariki mwa Thailand na kuua watu 15 wakiwemo wanafunzi 13. Basi hilo lilikuwa linaelekea katika mji wa Pattaya uliopo kilomita 150 kutoka mji mkuu wa Thailand, Bangkok.

Katika ajali hiyo waalimu 3 na wanafunzi 13 walipoteza maisha yao huku wengine 30 wakijeruhiwa vibaya

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni