.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 28 Februari 2014

WABUNGE WA BUNGE LA KENYA KUBADILI KIFUNGU KINACHODHIBITI MITALA

Wabunge wa Bunge la Kenya wanataka kufanya mabadiliko katika muswada wa ndoa ili kuondoa kifungu kinachoonekana kuwa ni kikwazo kwa wanaume wanaoamini katika ndoa zamitala.



Kifungu hicho kinachoonekana kuwa ni kikwazo kwa wanaume ni cha 44 cha muswada huo, ambacho kinapendekeza chini ya ndoa za kimila mwanaume anapaswa kuomba ridhaa ya mkewe kabla ya kuongeza mke mwingine.



Muswada huo ambao umepita katika awamu ya pili hapo jana, pia umeibua mkanganyiko kuhusiana na iwapo wanawake watakuwa na mamlaka ya kiasi gani ya dhidi ya uamuzi wa wanaume wao wanaotaka kuongeza wake.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni