Bingwa wa dunia wa WBC wa uzito wa
welterweight Floyd Mayweather atapigana na bingwa wa mkanda wa WBA
Marcos Maidana katika pambano la litakalofanyika Mei 3.
Mayweather ambaye anarekodi ya
kutopigwa aliwauliza mashabiki wake kupitia twitter kuchagua iwapo
wanataka apigane na Amir Khan ama Maidana.

Hakuna maoni :
Chapisha Maoni