.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Jumatano, 26 Februari 2014

KOCHA JOSE MOURINHO AKASIRISHWA NA KITENDO CHA KUREKODIWA KWA SIRI

Kocha wa Chelsea Jose Mourinho amekasirishwa na kitendo cha kurekodiwa kwa siri wakati akiwakosoa washambuliaji wake.

Mourinho amesema ni aibu mtu kurekodi mazungumzo binafsi, yaliyorushwa na Televisheni ya moja ya Ufaransa.

Mourinho amesema alikuwa akitania wakati alipokuwa analalamika kuhusu washambuliaji wa Chelsea ambapo alirekodiwa akisema anafikiri Samuel Eto'o anaumri wa miaka 35 na wala si 32.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni