Mshambuliaji wa Tottenham Emmanuel Adebayor akipiga saluti baada ya kufunga goli katika ligi ya Europa hapo jana walipocheza na Fc Dnipro, ambapo katika mchezo huo Tottenham waliibuka na ushindi wa mabao 3-1
Adebayor akiweka bao kimiani huku mlinda mlango wa Fc Dnipro akiwa hana la kufanya
Vurugu
Mwamuzi akimzawadia kadi nyekunduu mchezaji wa Dnipro Zozzulya




Hakuna maoni :
Chapisha Maoni