.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 28 Februari 2014

MAJESHI YA URUSI YADHIBITI VIWANJA VYA NDEGE HUKO CRIMEA

 Majeshi ya Urusi yameshika doria katika viwanja vya ndege katika mji wa Crimea tangu nchi ya Ukraine iingie katika mgogoro mkubwa wa kiuongzi

Watu waliojihami wanaounga mkono majeshi ya Urusi ambao wanalidhibiti bunge na mijengo ya serikali huko Simferopol, na makundi ya watu nje ya maeneo hayo wanashinikiza kampeni yao ya kulidhibiti kisiasa kikamilifu eneo la Crimea.

Kumekuwa na taarifa kuwa aliyekuwa Rais wa Ukraine Viktor Yanukoovich, anasemekana kuonekana nchini Urusi baada ya kutoweka kwa siku kadhaa.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni