.

.

.

.

.

.

.

.
KARIBUNI TUHABARIKE, TUELIMISHANE, TUPEANE HABARI ZA KUKUFANYA UTABASAMU KIDOGO NA MATUKIO YALIYOFANYIWA UCHUNGUZI WA KINA TOKA KILA PEMBE CONTACTS: +255 787 377 722 Email: drweyunga@gmail.com PIA UNAWEZA KUNI FOLLOW KUPITIA INSTAGRAM YANGU @drweyunga | TANGAZA NASI ILI UWAFIKIE WATU WENGI ZAIDI.

Ijumaa, 28 Februari 2014

MAREKANI YAIONYA URUSI KUACHA UCHOCHEZI NCHINI UKRAINE



Marekani imezitaka pande zote kutulia na kujizuia uchochezi, wakati huu ambapo Ukraine ikiwa kwenye hali ya tahadhari katika mkoa wa Crimea.

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani John Kerry, amesema ameongea na Urusi ambayo imeahidi kuheshimu mipaka ya Ukraine. Hata hivyo ameionya Moscow kusimamia kauli yake.

Mapema jana watu wenye silaha wanayoiunga mkono Urusi walivamia bunge dogo la Crimea, huku urusi ikifanya mazoezi ya kijeshi.

Hakuna maoni :

Chapisha Maoni